Kibatu cha Al-Mawsu’a Al kubra Al Mustabsirin
Muhtasari wa yaliyomo katika kitabu hiki: Katika kitabu hiki, mwandishi amezungumzia mada ya Tawhidi kwa mtazamo wa Ahlul-Bayt (as) na amemtambulisha msomaji juu ya tawhidi ya Kishia kwa kutumia aya na hadithi kwa njia rahisi. Mbali na mada za tawhidi, pia amezungumzia masuala ya sasa ya umma wa Kiislamu. – Shughuli nyingine muhimu ya Kituo […]
Zainab Kubraa (sa) katika hotuba ya Mustabsirin
Katika siku ya kuzaliwa Bibi Zainab (sa), ni vyema kujua na kujifunza kutokana na athari za bibi huyu mkubwa na mtukufu katika maisha ya wenye utambuzi, hususan wanawake waliokua mustabsirin. Amy Hodgkins anasema kuhusu ushawishi wa Bibi Zainab katika maisha yake: Lakini kitu kilichonivutia sana ni kwamba Bibi Zainab (sa) aliswali sala yake ya usiku […]