Mufti wa Kisunni wa Kifaransa; amekua Shia
Ninajisikitikia kwamba mpaka sasa nina umri wa miaka 68 Sikuujua uShia na nina furaha sana. Kabla ya hili, wakati wa safari yangu ya kwenda Madina, nilifahamu uShia na familia ya Mtume huko Iraq, Lakini leo nimewagundua. Huko madina walituficha kuwafahamu familia ya Mtume[saw] lakini leo
Zainab Kubraa (sa) katika hotuba ya Mustabsirin
Katika siku ya kuzaliwa Bibi Zainab (sa), ni vyema kujua na kujifunza kutokana na athari za bibi huyu mkubwa na mtukufu katika maisha ya wenye utambuzi, hususan wanawake waliokua mustabsirin. Amy Hodgkins anasema kuhusu ushawishi wa Bibi Zainab katika maisha yake: Lakini kitu kilichonivutia sana ni kwamba Bibi Zainab (sa) aliswali sala yake ya usiku […]