Mazungumzo na kijana wa Canada aliyesilimu mwezi wa Ramadhani – Subhanallah

Gregory Soden anaamini kwamba: “Katika nchi zote za Magharibi Watu wengi hawana Imani za  kiroho na watu wengi wanaenda Kuitafuta. Inaonekana  falsafa za Mashariki kuwa kawaida sana na kusababisha watu wengi wanaotafuta Imani ya kiroho kwenda upande huo, lakini si wote wanaoamini Mungu mmoja. Nchini Canada, kuna Idadi kubwa ya watu ambao