KITABU – UKWELI NI HUU

Bonyeza HUKU ili upate Kitabu hichi Kitabu kilichopo mikononi mwako ni kile ambacho kimeandikwa na Dr. Sheikh Ahmad al-Waaili na kutarjumiwa na Sheikh Abdulmajid Nassir na kusahihiswa na Shiekh Musabbah Shabaan Mapinda. Kwa jitihada zao hizi na nyingine, Mwenyezi Mungu awalipe malipo mema hapa Duniani na kesha huko Akhera