Kitabu cha Fadhl ala Al-A’imat fii hifdh Al’Qur’an wal inayata bihi

Imetungwa na Mheshimiwa Mustabsar, Bw. Marwan Khalifat.  Muhtasari wa yaliyomo katika kitabu hiki: Kitabu hiki kiliandikwa na mwandishi na mchambuzi anayeheshimika Bw. Marwan Khalifat. Katika kitabu hiki, mwandishi ameshughulikia mada ya dini ya Qur’ani.