HISTORIA YA MAISHA YA DR. ESSAM ALI YAHYA AL EMAD
Dk. Essam Al-Emad ana asili ya Yemeni (aliyezaliwa mwaka 1968). Baba yake Ali Yahya al-Emad na ami yake “Abdul Rahman al-Emad” ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa Kisalafi na Kiwahabi huko Yemen. Jamaa zake ni miongoni mwa waanzilishi wa wasomi wa Kiwahabi huko Yemen na eneo hilo, Pamoja na hivyo kwamba baba yake, ami yake […]
Mapenzi kwa Imam Hussein (as) ndio sababu ya mimi kuongoka
Mahojiano na Mustabsir kutoka Chabahar, ambaye aliongoka kwa jina, kumbukumbu na njia ya Sayyid al-Shahda (AS) kwenye njia sahihi na kua Shia. Mwenyewe anajitambulisha kama ifuatavyo: Mimi ni mtumishi wa Kiislamu kutoka katika moja ya vijiji vya Chabahar na imepita zaidi ya miaka 10 tangu niwe Shia. Mwanzoni, makazi yetu yalikuwa Hotan Park, kati ya […]