Ikiwa mtu anapata mafanikio kwa jitihada zake, je, anapaswa kusema kua mafanikio hayo ni kwa msaada wa Mwenyezi Mungu?!
Swali: Salam Alaikum, vile baadhi ya watu wanavyosema, mtu akijitahidi atafanikiwa, na wanavyosema ukijitahidi Mungu atakusaidia pia. Swali hili linakuja kwamba wakati mtu anajitahidi kufanya kitu, anafanikiwa, na haitaji msaada wa Mungu, kwa hivyo msaada wa Mungu una maana gani?! Jibu kwa ufupi: Ni sheria, kanuni ya
Nini maana ya “Uadilifu kwenye Kauli”?
Swali: Nini maana ya “Uadilifu kwenye Kauli”? Jibu fupi: “Uadilifu kwenye Kauli” ni kinyume cha kugombana na kubishana, ambayo ina maana ya uadilifu na haki katika hali zote. Bila shaka,